Tuesday, May 06, 2008

Watu zaidi ya 22,000 wafa Myanmar!


Habari kutoka Myanmar (Burma) zinazidi kuwa mbaya. Sasa serikali ya huko inasema kuwa watu zaidi ya 22,000 wamekufa na zaidi ya 41,000 hawaonekani baada ya kimbunga kali kupiga nchi hiyo juzi. Wadau hayo ni Maangamizi!
Idadi ya vifo inasikitisha sana. Tuombe Mungu awasaidie watu wa nchi hiyo na tuombe kitu kama hicho kisitupate.

REST IN PEACE

Kwa habari zaidi someni:

http://www.nytimes.com/2008/05/07/world/asia/07myanmar.html?ref=world

http://www.nytimes.com/2008/05/07/world/asia/07aid.html?ref=world

No comments: