Saturday, February 27, 2010

Wanajeshi wa Marekani Waugua Malaria Haiti

Leo kuna habari kuwa wanajeshi sita wa kiMarekani walioko Haiti wamepata ugonjwa wa homa (Malaria). Na sasa kuna habari kuwa wanajeshi walioenda Afrika pia wameugua, wengine mpaka karibu wafe. Kwa kweli watu wanaanza kuhaha maana wanadhani malaria ni ugonjwa mbaya mno. Sasa hivi mtasikia watu wanahofu kwenda Haiti au Afrika shauri ya kuhofu kuambukizwa malaria.
Ukiumwa malaria Marekani unafungwa quarantine, utadhani una ugonjwa wa ukoma. Nakumbuka MBongo fulani alienda likizo Bongo, alivyorudi alimwambia mwajiri wake kuwa anaumwa malaria, walifukuza kazi mara moja. Mwingine aliiambiwa asirdui mpaka ana cheti cha daktari kuhakikisha ni mzima.

Mnaweza kusoma habari zaidi hapa:

Friday, February 26, 2010

Swagga Night


INFINITY ENT'S pres, SWAGGA NIGHT. Sat 13th, MAR 2010 at SPICE LOUNGE, 3 Savoy Crecent, Theatre District, MILTON KEYNES. mk9 3pu,DJ DOUBLE T & Dj BILLY will make it happen.BONGO FLAVAS, R&B, RAGGA, OLD SKOOL. Dress Smart to impress. 10Pm till Late, Admission: £5 B4 12.VIP TICKETS AVAILABLE AT THE DOOR. Mishemishe sio mchezoo...

Wednesday, February 24, 2010

Best Poem in the World


BEST POEM IN THE WORLD

I was shocked, confused, bewildered
As I entered Heaven's door,
Not by the beauty of it all,
Nor the lights or its decor.

It was the folks in Heaven
Who made me sputter and gasp--
The thieves, the liars, the sinners,
The alcoholics, and the “trash.”

There stood the kid from seventh grade
Who stole my lunch money twice.
Next to him was my old neighbor
Who never said anything nice.

Herb, who I always thought
Was rotting away in hell,
Was sitting pretty on a cloud,
Looking incredibly well.

I nudged Jesus, 'What's the deal?
I would love to hear Your take.
How'd all these sinners get up here?
God must've made a mistake.

'And why is everyone so quiet,
So somber - give me a clue.'
'Hush, child,' He said, 'they're all in shock.
None thought they'd be seeing you.'

JUDGE NOT!!

Remember...Just going to church doesn't make you a
Christian any more than standing in your garage makes you a car.

And a church is NOT a museum of saints

but a hospital for sinners

Every saint has a PAST...
Every sinner has a FUTURE!

Now it's your turn... Share this poem.

Monday, February 22, 2010

Saturday, February 20, 2010

Mazishi ya Reggie Mhango Leo

Mzee Reginald Mhango amezikwa leo katika makaburi ya Kinondoni. MAY HE REST IN ETERNAL PEACE. AMEN.

Video kwa hisani ya Muhidini Issa Michuzi

Friday, February 19, 2010

Tribute to Reggie Mhango

Chief Secretary katika ofisi ya Rais, Philemon Luhanjo akitia sahihi katika kitabu cha Rambirambi.

Reggie's Enternal Legacy

By Danford Mpumilwa

I am writng this piece from Nairobi. Actually I am in process of soon transiting to Kampala. I have been busy the whole day with some official business with some senior officials from the Ministry of Education here. Under the circumstances, taking into consideration the recent problems facing the top officials of the Ministry, I am happy to say that my 'mission' has been sucessfuly accomplished.

Following a short break in my official engagements I rushed into my hotel's internet room to, among others, catch up with the latest news from Bongoland. I happen to be an ardent follower of Michuzi's blog for the simple reason that it enables me to catch up with the latest info-news from home.But today's updates included the shocking news of Reginald Mhango's passing on.

There is no doubt the likes of me and many otthers who were inducted into the Tanzanian Daily/Sunday newsroom in the mid to late 70s must have received the shocking news with utter helplessness. Me and my colleagues, who include Franklin Mziray and Wence Mushi sauntered into that newsroom in 1977 from the University of Dar es Salaam with the fresh arrogance that we, fresh graduates from the 'Manzese' University, were masters of the journalism profession.

I have to admit that in due course, thanks to Reginald Mhango, fondly called 'Reggie', we were made to swallow our pride and learn the ABCs of the profession in a very conducive and inspirational manner. It is thanks to Reggie who took time, unlike many other senior editors at the paper, to lovingly tutor us in the art of writing simple undertandable language which worships facts.

Many of us have gone into different ways of life but none, and I am sure I speak for most of those who were tutored by Reggie, will forget the important lessons we learnt from his, if I can quote the North Korean-speak ' 'on the spot fatherly guidance' in the profession. By then Reggie was what we called 'kiraka'. He would this day be the News Editor this week and the next one be the Features Editor or Deputyt Editor.

Space does not allow me to say much about him but I can vouch that Reggie played a pivotal role in grooming me and many others into the profession. I and my colleagues will miss him dearly. And we will be left wondering as to who will be the next, Reggie, the comitted and non compromising guide to our nations 'Cub Reporters'.

At times like these it makes all of us roam into our worldly lives' philosophy of the inevitable end. And it is only then that we can serously strive to contribute to a lasting development of a brghter future of humanity for us and our future generations. For only then can our deeds and ideas live in eternity. And that is what Regie has has lovingly left us with.

My the Almighty God Rest His Soul in Peace!

Amen!
Danfod Mpumilwa

Thursday, February 18, 2010

Tanzia - Reginald Mhango (Reggie) Bosi wangu Daily News

Reggie na copy yake ya sinema Bongoland II. Sehemu ya hiyo sinema ilipigwa nyumbani kwa Reggie huko Magomeni Mikumi. Nilipomwomba kupiga sehemu ya sinema hapo allikubali bila kusita na pia alifurahi kuona jinsi wanavyotengeneza sinema. Alifurahi uchapa kazi wa crew waliotoka Marekani.
Mimi, Reggie Jr. (katikati) na Mzee Reggie Mhango. Picha hii tulipiga siku ya October 27, 2009 nyumbani kwa Reggie. Nilisikia kutoka kwa kaka Michuzi kuwa alipata stroke lakini hajambo. Nilimpigia Reggie simu kutoka Marekani mwezi wa saba na kumwaidi kuwa nitafika siku hiyo na nilifika. Alifurahi sana.
************************************
Wadau, nimepokea kwa majonzi habari ya kifo cha bosi wangu mpendwa nilipokuwa Daily News, Reginald Mhango (Reggie). Reggie alikuwa na utu, uvumilivu, na upendo kwa kila mtu. Nakumbuka nilikuwa napata shida nikiwa na mimba mwaka 1989. Tumbo ilianza kuwa kubwa na kutembea ilikuwa shida. Reggie aliniambia nikae nyumbani mpaka nijifungue na kumaliza maternity leave. Si hiyo tu lakini kwa kweli sikumbuki kumwona akiwa na hasira au akigombana na mtu. Alitufundisha sisi waandishi chipukizi uandishi wa habari hasa, na kutusaidia katika kuandika habari safi...to the point! Nje ya kazi, ilikuwa hata kama una shida binafsi alikuwa tayari kusikia na kutoa mawaidha.
Mnakumbuka ile kesi ya Mzee Athumani Ali Maumba. Yule babu wa Magomeni aliyekuwa analawiti watoto wa kike wa primary, Reggie alisaidia hizo habari zichapishwe. Hamwezi kuamini lakini mpaka hiyo kesi ya Maumba ilikuwa kama mwiko kuandika habari hizi. Hata waandishi wa habari wengine walikataa kuripoti. Mimi ndo nilikubali kwenda huko kwenye hiyo shule Kisutu na kuchunguza. Baada ya ripoti kukamilika wakuu walitaka kuzuia, Reggie aliongea. Kesho yake walitoa para mbili tena kwa kificho. Baada ya kuona si mwisho wa dunia, habari za Maumba zikawa front page. Msishangae na kusema najiona,lakini mkumbuke kuwa wakati huo kulikuwa na magazeti machache nchini. Daily News (serikali) Uhuru (Chama) na Mfanyakazi, Kiongozi (Wakatoliki). Redio ilikuwa RTD tu. TV ilikuja baadaye.
REST IN ETERNAL PEACE REGGIE. WE WILL MISS YOU DEARLY BUT YOU IMPARTED GREAT KNOWLEDGE AND WISDOM IN US AND WE WILL PASS IT ON!
Mnaweza kusoma habari zaidi kwa Kaka Michuzi.
Na pia someni Daily News:

Wednesday, February 17, 2010

Wateule wa Oscars 2010 Wala Chakula Pamoja!


Wadau, kila mwaka ni kawaida kwa walioteuliwa kupata tuzo ya Oscars kula chakula cha mchana pamoja. Leo walivigida huko Hollywood. Chakula chenyewe kina kuwa cha fahari kweli. Sherehe ya kujua nani kashinda na kutuza wasanii bora, na watengeneza sinema bora itaka siku ya jumapili, March 7, 2010.

Nangojea kwa hamu kumwona dada Mo'nique akishinda Oscar ya Best Supporting Actress. Mo'nique lazima ashinde maana hiyo kazi aliyofanya kwenye sinema Precious ni kiboko. Pia nina hamu ya kumwona Gabourey Sidibe akitembea kwenye Red Carpet. Akishinda Tuzo ya Mcheza sinema bora wa kike itakuwa maajabu. Nasmea hivyo kwa sababu kwanza ni mweusi, tena kwa hapa Marekani mweusi tii, mnene, na ni mara yake ya kwanza kuigiza katika sinema. Akimshinda Meryl Streep nitasema kweli Hollywood imebadilika.

Sakata la Babu Mweusi Aliyeibiwa Tiketi ya Bahati Nasibu

Wadau, huo Texas kuna babu Mmarekani mweusi aliyeshinda dola milioni moja kwenye tiketi ya bahati nasibu. Kijana wa kihindi (kutoka Nepal) ambaye alikuwa anauza duka kamtapeli huyo babu na kumwambia kuwa eti ina dola $2 tu. Halafu alichukua kaenda kui-cash na kurudi kwao Nepal.

Kwa bahati nzuri polisi na serikali waliingilia na babu yule atarudishiwa kiasi cha hizo pesa. Jamani uchu wa pesa.

Hapa Marekani tumezoea kuona wahindi wanauza maduka ya convenience, na wengi ni wazuri and waaminifu. Huyo kijana wa kihindi kawachafua kweli kweli.

*************************************************************************


Part of Stolen Lottery Jackpot is Returned to Grand Prairie Man

By ALEX BRANCH

Willis Willis will finally get some of his $1 million lottery jackpot.
On Tuesday, state District Judge Bob Perkins signed an order restoring to the Grand Prairie man $395,000 seized from the bank account of a store clerk accused of stealing the winning ticket.
"I feel pretty good, a bit relieved," said Willis, 67, shortly after the hearing in Austin. "I'm glad we finally made it to this point."
Willis said he planned to spend part of the money on medical bills and a daughter's college tuition.
"It's all stuff that has to be paid for," he said. "Things I really needed the money to take care of."
About $365,000 of the cash restored to Willis was seized by Travis County prosecutors from bank accounts opened by the store clerk, Pankaj Joshi. The other $30,000 was recovered from people in Dallas to whom Joshi had given money.
Authorities believe Joshi took the ticket from Willis, told him it was not a winner and cashed the ticket himself. He then returned to his native Nepal.
The Nepalese government has frozen an additional bank account connected to Joshi there, said Patty Robertson, a Travis County assistant district attorney. Sean Breen, Willis' Austin-based attorney, said the account is believed to hold around $300,000.
Prosecutors are working with the U.S. State Department to return to the money to Travis County. However, because a foreign government is involved, the process is complicated, Robertson said.
"I really don't have a timetable on when, or if, that will happen," she said.
About $50,000 of the winnings probably won't be recovered because Joshi withdrew it in cash, Breen said.
Joshi, 25, who was a student at the University of Texas at Arlington, is charged in Travis County with fraud and unlawful flight to avoid prosecution. His bond is set at $10 million.
Authorities have gone to great lengths to locate him. Robertson said. They have contacted his parents and notified the Nepal Embassy in Washington, D.C.
Newspapers in Kathmandu, the Nepalese capital, have reported extensively on the case, she added.
Breen said he will continue to try to force the Texas Lottery Commission to award Willis the rest of the jackpot. Lottery officials have refused, saying they consider Joshi the winner because he signed and redeemed the ticket.
After Tuesday's ruling, Breen said he wondered how the commission could still deny that Willis was the winner.
"The judge looked at the evidence and determined it was obvious Mr. Willis was the winner," he said.
Willis bought the winning ticket May 29 at the Lucky Food Store at 902 Great Southwest Parkway in Grand Prairie, authorities said. He returned there May 31 to have the Mega Millions ticket and others scanned to see whether they were winners.
The Mega Millions ticket was a winner, but Joshi, who scanned it, gave Willis only $2 for a Cash 5 ticket, authorities said.

KUTOKA:
http://www.star-telegram.com/local/story/1973913.html

Tuesday, February 09, 2010

Wasanii Wenzangu - Oscar Micheaux Family Theater

Nimeulizwa maswali mengi kuhusu kikundi chetu cha Oscar Micheaux Family Theater cha hapa Boston. Tunakutana Boston South End, Blackstone Community Center, kila mwaka wanafanya mchezo, The Harlem Renaissance Revisited na michezo mingine lakini hiyoya Harlem ndo kubwa. Mimi nilijiunga na kikundi mwaka jana.

Pichani: Waliosimama kuanzaia kushoto - Charles 'Matumbi' Jackson, Lee Smith, Kushelia Shukhu, Joe Banks Jr. Waliokaa, Bonita Andrade, Chemi, Linda Henderson na Catrina Andrade. Picha ilipigwa mwanzoni mwa January na Tina Bergeron.

Wako wengine wengi zaidi, lakini hawakuwepo wakati tunapiga hii picha.

Saturday, February 06, 2010

The Harlem Renaissance Revisited - Mchezo wa Kuigiza

Mother Africa /Mama Afrika
Linda Henderson akimpaka make-up Joe Banks Jr. (Steve Lucky)

Kushelia, Linda na Catrina walioigiza kama watumwa

Muongozaji (Director) Wetu Lee Smith na Oscar feki tuliyomkabidhi kama shukurani kwa kazi nzuri. Lee aliigiza kama Langston Hughes pia.


Mimi na Ruby Hill tukiwa tumevaa costumes kwa ajili ya Party Scene.


Mimi niligiza kama Mother Africa pia, safari hii. Father Africa alikuwa David Bowden. Kwa mara ya kwanza walikuwa na Mother Africa ambaye anaongea lugha ya Afrika. Khanga na vitenge nilinunua nilivyokuwa Dar mwezi Novemba. Ungo nilinunua Ubungo TANESCO. Nilikuwa na nyingine ambaye nilikuwa nafanya mazeozi nayo, ilibiwa pale tulipokuwa tunafanya mazoezi! LOL!


Costume yangu ya awali kama Ms. Thelma anayetafuta mapenzi na ana ndoto ya kushinda bahati nasibu.


Mimi na Charles Jackson aliyeigiza kama Joe the Bartender. Mwanzo Ms. Thelman anamkataa Joe, lakini baadaye anamkubali na wanafunga ndoa.



Wadau, jana jioni (Ijumaa) niliigiza katika mchezo wa kuigiza, The Harlem Renaissance Revisited with a Gospel Flavor. Mchezo wa Harlem Renaissance umetungwa na Haywood Fennell Sr.

Thursday, February 04, 2010

The Harlem Renaissance Revisited at Northeastern University

Wadau, kesho nitaigiza katika mchezo wa kuigiza The Harlem Renaissance Revisited with a Gospel Flavor. Role yangu ni ile ile ya Ms. Thelma anayependa kucheza bahati nasibu na mabaye anatafuta mwanaume wa kumwoa.

Kiingilio ni bure, tiketi zinapatika Box Office ya Blackman Theater, Northeasternm University, 360 Huntingto Avenue, Boston, MA. Itaanza 7:00pm (saa moja jioni).

Karibuni!

THE HARLEM RENAISSANCE REVISITED

BLACKMAN THEATER

IN ELL HALL, KRENTZMAN QUADRANGLE

NORTHEASTERN UNIVERSITY

360 HUNTINGTON AVE, BOSTON MA.

FRIDAY, FEBRUARY 5, 2010

STARTS AT 7:00PM.

Monday, February 01, 2010

Blogu Mpya - WanaMuziki Tanzania

Imeanzishwa na mwanamuziki John Kitime.

http://www.mwakitime.blogspot.com/

Tukumbuke Waliovyofanya - Greensboro Four


February ni Black History Month yaani mwezi wa kukumbuka historia ya weusi Marekani. Kwa wakati huu ni muhimu sana tukumbushe vijana wetu historia ya weusi Marekani...utumwa, ubaguzi na vitendo vya uonevu na mauaji.

Wadau, hapa Marekani siku hizi tumezoea kwenda madukani na kwenye migahawa na kuhudumiwa bila matitizo. Haikuwa hivyo siku zote. Mpaka miaka ya 1960's kulikuwa na sehemu ambazo weusi walikuwa hawahudumiwi. Walikuwa hawaruhusiwi kula chakula katika migahawa, kulikuwa na mabango 'Whites Only' (Wazungu Tu). Kama walikuwa wanahudumia weusi basi ilibidi waende nyuma ya jengo na kupewa chakula kwenye mfuko, huko si ajabu wazungu waliitemea mate na kuiweka mikojo, mavi na uchafu mwingine.

Greensboro Four walikuwa vijana weusi wanne waliokuwa wanasoma katika Chuo Kikuu cha North Carolina A & T. Siku ya Februari mosi mwaka 1960, waliamua kwenda kukaa katika sehemu ya wazungu kwenye duka la Woolworth's na kudai wahudumiwe. Walisema kwa nini hapo dukani wanauuzia weusi mahitaji, lakini hawawezi kuwaruhusu kukaa kunywa kahawa na kula chakula hapo. Kwanza weusi wenzao waliwaona wajinga na wapuuzi, lakini wengine walijiunga nao na mwisho migomo iliandaliwa katika miji15! Hatimaye ilibidi rais wa wakati huo Rais Dwight D. Eisenhower aiingilie! Hatimaye Woolworth's waliruhusu weusi kula hapo.

Kusoma habari ya Greensboro Four BOFYA HAPA: http://www.cnn.com/2010/US/02/01/greensboro.four.sitins/index.html?hpt=C1