Saturday, May 31, 2014

Ukweli Kuhusu Ushuzi

 Kutoka Facebook:

Kujamba kunasababishwa na kubanwa kwa hewa,ambayo inaweza kutoka mwilini kwa njia nyingi.Baadhi ni hewa tuliyoimeza wakati wa kula au kunywa.

Hewa ingine husababishwa na gesi kuingia kwenye utumbo wetu kutoka kwenye damu,na baadhi ya gesi huzalishwa na kemikali katika utumbo au bakteria.

Kwa kawaida "ushuzi" unakua na asilimia 59 ya gesi ya nitrogen, asilimia 21 ni hydrogen,asilimia 9 ni carbon dioxide,asilimia 7 methane na asilimia 4 ni oygen.

Asilimia moja tu ya "ushuzi" inaweza kuwa hydrogen sulfide na mercaptans,ambayo ndio ina sulfur ndani yake,sulfur ndo hufanya "ushuzi" utoe harufu mbaya Kujamba huambatana na sauti,hii ni kutokana na "vibration" katika njia ya haja kubwa.

Ukubwa wa mlio wa kujamba hutegemea "presha" inayosukuma gesi itoke nje na pia ugumu wa misuli ya njia ya haja kubwa.

Harufu mbaya ya ushuzi hutegemea na ulaji wa mtu,vyakula vyenye sulfur kwa wingi ndio husababisha hili.Vyakula vyenye sulfur kwa wingi ni kama maharage,kabichi,soda na mayai.
Kwa Baadhi ya Tamaduni,Kujamba Sio Ishu

Wakati tamaduni nyingi zikichukulia tendo la kujamba lifanywe kistaarabu,kuna baadhi ya tamaduni hawaoni haya kujamba hadharani,na pia hufurahia tendo hilo.

Mfano kabila la Yanomami huko America ya Kusini,kwao husalimiana kwa kujamba,na China unaweza kupata kazi ya kunusa ushuzi! Katika Roma ya zamani,Mfalme Claudius akihofia kwamba kujizuia kujamba inaweza kuwa hatari kiafya,alipitisha sheria kwamba ni ruhusa kujamba kwenye "banquets".

Mtu wa kawaida hutoa hata nusu lita ya ushuzi kwa siku.Inasemekana mtu akijamba mfululizo kwa kipindi cha miaka 6,anaweza kuzalisha nishati ya kutosha kutengeneza bomu la atomiki.


Tumshukuru Mungu


Kama una Chakula kwenye fridge yako,
Nguo mwilini mwako,
Paa juu ya kichwa chako na sehemu ya kulala,
Wewe ni tajiri zaidi ya 75% ya watu dunia nzima!


Kama una hela kwenye pochi yako
na unaweza kwenda popote utakapo,
Wewe ni mmoja kati ya 18% ya watu matajiri wa juu duniani.

Kama upo hai leo
na afya zaidi ya maradhi,
Umebarikiwa zaidi ya watu milioni
ambao hawatamaliza hii wiki bila ya kufa.

Kama unaweza
kusoma huu ujumbe na kuuelewa,
Una bahati zaidi ya watu bilioni 3 duniani
ambao hawawezi kuona,kusoma ama wana ugonjwa wa akili.

Maisha sio kulalamika
maumivu na huzuni.
Ni kuhusu sababu nyingine
nyingi sana za kumshukuru muumba wetu.

MSHUKURU MUNGU WAKO KWA YOTE


Tanzia - George Tyson (Mume wa Monalisa)

Kutoka Facebook:

George Tyson ambaye alikuwa mume wa Monalisa, naye hatunaye tena duniani. Bongo Movie Unit mbona hata hawapati fursa ya machozi wanayolia kukauka jamani!! Poleni sana wadau na Mungu ampumzishe Tyson mahali pema peponi.

Marehemu George alifariki katika ajali ya gari.  

Kwa habari zaidi BOFYA HAPA:

Marehemu George Tyson



Malawi Yapata Rais Mpya!!!

Habari kutoka Malawi zinasema kuwa Peter Mutharika, ni Rais Mpya wa Malawi! Katika Uchaguzi wao,  Lazarus Chakwera alikuwa wa pili  na Joyce Banda (Rais wa sasa), kawa mshindi wa tatu!  Peter ni Kaka wa marehemu Bingu wa Mutharika aliyewahi kuwa rais wa Malawi.

**********************************


Hon. Peter Mutharika - President Elect of Malawi

  BLANTYRE, Malawi (AP) - Malawi's election commission has declared opposition leader Peter Mutharika to be the winner of an election that was marred by scattered unrest and complaints from the president and others that the vote was rigged.

   Mutharika, leader of the Democratic Progressive Party and brother of a president who died in 2012, won the May 20 election with nearly 2 million votes, or 36.4 percent of the electorate. Another opposition leader, Lazarus Chakwera, came second with 27.8 percent, the election commission announced late Friday night. Malawi uses the first-past-the-post system, meaning the candidate with the largest share of votes, no matter how small a percentage of the total votes cast, is the winner.

   President Joyce Banda was a distant third with just over 20 percent, according to the results. Banda had sought to annul the vote because of what she said were irregularities and had called for another election in which she said she would not participate, but a court said her move was invalid.

   Banda came to power in 2012 following the death of Mutharika's brother, Bingu wa Mutharika. Malawi is poor and heavily dependent on foreign aid. Banda initially drew praise for vowing to combat graft when she came to office, but her government has been tarnished by corruption scandals.

   Justice Maxon Mbendera, head of the election commission, lamented the death of a young boy in post-election violence in the southern resort district of Mangochi. He urged Mutharika, a lawyer and former foreign minister, to "focus on what matters and to spend our taxes efficiently" and appealed to the losers to acknowledge that "there can only be one winner."

   Jessie Kabwila, spokeswoman for Chakwera's opposition party, the Malawi Congress Party, said her party will challenge the results in court.

   "We are disappointed because this is not a credible election," she said. "We can't have a president from a junk vote."

   Nicholas Dausi, spokesman for Mutharika's party, said the victors would not be distracted by "bad losers."

******************

  BLANTYRE, Malawi (AP) - Malawi's election commission has declared opposition leader Peter Mutharika to be the winner of a disputed election despite complaints from the president that the vote was rigged.

   The election commission said late Friday night that Mutharika, leader of the Democratic Progressive Party, had won the May 20 election with 36.4 percent of the vote. Another opposition leader, Lazarus Chakwera, had 27.8 percent.

   President Joyce Banda was a distant third, according to the results. Banda had sought to annul the vote because of what she said were irregularities, but a court said her move was invalid.

   Banda came to power in 2012 following the death of Mutharika's brother, Bingu wa Mutharika.
  

Serikali Kujenga hospiatli ya Rufaa Singida

DSC_0473

Katibu Mkuu wa CCM Taifa Abdulrahamani Kinana akiongozwa na Mkuu wa Moa wa Singida Dk, Parseko Kone, Katibu Tawala Lianna Hassan na viongozi wengine wa Mkoa wa Singida kukagua hatua iliyofikiwa ya ujenzi wa hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Singida, wakati Kinana alipokuwa Mkoani Singida kwa ziara ya kikazi ya siku saba.(Picha na Zainul Mzige wa modewjiblog).

Na Nathaniel Limu, Singida

MKUU wa Mkoa wa Singida,Dk.Parseko Vicent Kone amesema serikali imetoa zaidi ya shilingi 6.7 bilioni kwa ajili ya kugharamia ujenzi wa hospitali ya rufaa ya mkoani hapa iliyoko kijiji cha Madewa nje kidogo ya Singida mjini.

Dk.Kone amesema hospitali hiyo itakapokamilika,itahudumia wagonjwa kutoka mikoa yote ya kanda ya kati.

Mkuu huyo alitoa rai hiyo wakati akitoa akitoa taarifa yake kwa katibu mkuu CCM taifa,Abrahamani Kinana aliyetembelea hospitali hiyo hivi karibuni.

Amesema mkoa umetegewa eneo la ekari 283 kwa ajili ya uendelezaji wa mradi wa hospitali hiyo, ambayo itakuwa ya mfano hapa nchini.

Kwa upande wake Mganga Mkuu wa Mkoa wa Singida, Dk Dorothy Gwajima amesema lengo la mradi huo ni kuimarisha huduma za afya mkoani pamoja na mikoa jirani.

DSC_0429

Katibu Mkuu wa CCM akiweka saini kwenye kitabu cha hospitali ya Rufaa huku Naibu Katibu Mkuu wake Mwigulu Nchemba na mkuu wa Mkoa wa Singida Kone wakishuhudia.

Dk.Gwajima amesema mradi huo utakapomalizika,utakuwa na majengo 29 yatakayotumika kutoa huduma mbali mbali.

Mganga huyo mkuu,amesema changamoto inayowakabili ni pamoja na uhaba wa watumishi,nyumba za kuishi watumishi na ufinyu mdogo wa bajeti ya dawa kutoka bohari kuu ya madawa (MSD).

Kwa upande wake Kinana,alitumia fursa hiyo kumpongeza Dk.Kone kwa utendaji kazi wake ambao umesaidia kujengwa kwa hospitali hiyo.

DSC_0446

Mganga mkuu wa hospitali ya Mkoa wa Singida (RMO) Bi. Doroth Bwajima akisoma taarifa ya ujenzi wa hospitali hiyo.

Amesema baada ya mradi huo kukamilika mkoa wa Singida utaondokana na matatizo ya huduma za afya.

"Ili kumuunga mkono Dk.Kone kwa hili jambo nzuri la ujenzi wa hospitali ya rufaa ambayo itasaidia Watanzania wengi kupata huduma ya afya kwa kiwango kizuri,nitahakikisha nina muunganisha na baadhi ya marafiki zangu wa ndani na nje ya nchi ili waweze kusaidia kumalizika kwa ujenzi wa hospaitali hii inayovutia",amesema Kinana.

DSC_0453

Mganga mfwawidhi wa hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Singida, Dkt Joseph Malunda, akiwaonesha michoro ya hospitali hiyo viongozi walioambatana na Kinana.

DSC_0463

Viongozi mbalimbali wa mkoa huo wakimsikiliza Dkt Malunda.

DSC_0481

Muuguzi Mkuu wa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Singida Pendael Maasai akisisitiza jambo kwa Kinana.

DSC_0499

Muuguzi Mkuu wa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Singida Pendael Maasai akimwonyesha Katibu Mkuu kinana vifaa mbalimbali vilivyopo kwenye hospitali hiyo ya rufaa.

DSC_0506

Mbunge MO akiangalia mojawapo ya vifaa vya hospitali ya rufaa ya singida.

DSC_0496

Mbunge wa Jimbo la Singida Mjini Mohammed Dewji akisalimiana na Daktari bingwa wa magonjwa ya kina mama wa mkoa wa Singida Dkt, Seleman Mutani wakati wa ukaguzi wa hospitali hiyo.

DSC_0522

Katibu Mkuu wa CCM Taifa akiongozana na mkuu wa Mkoa Kone, Mbunge wa jimbo la Singida Mjini Mh. Mohammed Dewji, wasaidizi wa Mbunge Duda Mugheny na David Mkufya wakimwongoza Kinana kutoka nje mara baada ya kukagua hospitali ya Rufaa ya Mkoa huo.(Picha zote na Zainul Mzige wa modewjiblog).

Thursday, May 29, 2014

Miss Tanzania USA Pageant 2014




Attention Young Ladies. Are you interested in participating in the MISS TANZANIA USA Pageant? It will be held in Washington, D.C. later this year. You need to be between ages 16 -27 and have at least one parent from Tanzania. Contact me at chemiche3@yahoo.com for details on how to apply.

Mtoto Shigella Afariki Dunia - Alizaliwa na VVU (HIV)

10342004_1886404071498512_8618777191309208307_n

Marehemu Shigela ezni za uhai wake akihojiwa na Mtangazaji wa Kipindi cha Mimi na Tanzania Hoyce Temu.

Mtoto Shigela amefariki dunia asubuhi ya leo tarehe 29/05/2014 nyumbani kwao mkoani Mwanza akisumbuliwa na maradhi ya Moyo.

Mtoto Shigela alikuwa ni mmoja kati ya watoto waliozaliwa na VVU na kipindi cha Mimi na Tanzania kilimtangaza na alipatiwa misaada mingi toka kwa Watanzania .

Bado msaada wako unahitajika kukamilisha mipango ya mazishi kwa mtoto wetu mpendwa Shigela.

Namba ya simu ya dadake Shigela 0758343178.

Bwana ametoa na bwana ametwaa,jina lake lihimidiwe.

Taarifa hii imetoka kwenye Akaunti ya Facebook ya Hoyce Temu.

10342503_1886404114831841_5868107759100328651_n

Mtangazaji wa kipindi cha Mimi na Tanzania Hoyce Temu akifurahi na Marehemu Shigela enzi za uhai wake.

Sunday, May 25, 2014

Mkutano wa Injili Boston - Kulola, Masanja Mkandamizaji na Christina Shusho Wamo

Masanja Mkandamizaji Akiimba ' Bize'


Dr. Ronald Prastcher kutoka Chicago Akihubiri

Masanja Mkandamizaji Akitoa Mambo

Pastor Daniel Moses Kulola, na Pastor Kubilula na waumini wengi wakisikiliza Mahubiri


Gospel Singer, Chrisina Shusho Akihudumia

Leo Mkutano wa International Gospel Church unamalizika, mjini Boston. Kanisa liko 85, Crescent Avenue, Chelsea, MA. Karibuni.  Mji wa Boston umebarikiwa na mwimbaji, Christina Shusho,  na Pastor Daniel Moses Kulola. Masanja Mkandamizaji ametuchekesha mbavu zina uma!

Mh. Mohamed Dewji Atoa Misaada Jimboni Mwake

DSC_0025

Mbunge wa Singida Mjini, Mh. Mohammed Dewji (MO), akizungumza na viongozi wa Mahakama ya Qadhi wakati alipotembelea Mahakama hiyo kuona namna inavyohudumia waumini wa Dini ya Kiislamu katika kutatua migogoro ya ndoa.

DSC_0029

Sheikh wa Mahakama ya Qadhi, Ramadhani Kaoja akimweleza Mheshimiwa Mbunge shughuli za Mahakama hiyo pamoja na changamoto mbalimbali zinazowakabili, Kushoto ni Mwenyekiti wa CCM Singida Mjini , Hamis Nguli, wa pili kulia ni Katibu wa Mahakama ya Qadhi, Alhajj B. Mlau.

DSC_0133

Mbunge wa jimbo la Singida Mjini MO akisalimiana na waumini wa Msikiti wa Kata ya Mtipa wakati alipofanya ziara ya kukagua ujenzi wa Msikiti huo, ambapo mara baada ya kuona hatua zilizofikia za ujenzi huo aliahidi kutoa Mabati 50 pamoja na mifuko 50 ya Saraji kwa ajili ya kukamilisha ujenzi huo.

DSC_0171

MO akitoka kukagua ujenzi wa Msikiti wa kijiji cha Mangwanjuki kata ya Mtipa.

DSC_0237

Waumini wa Msikiti wa kijiji ch Mangwanjuki wakimsikiliza Mbunge wao Mheshimiwa MO.

DSC_0262

Baadhi ya wapiga kura wa kijiji cha Mangwanjuki wakipeana mikono ya Kheri na Mbunge wao.

DSC_0287

Baadhi ya waumini wa dini ya Kiislamu wa Msikiti wa Mwankonko darajani wakimsikiliza Mbunge wao (hayupo pichani) wakati alipoendelea na zoezi la kutembelea nyumba za kuabudu zilizopo jimboni kwake.

DSC_0314

Jengo la wa Mwankonko darajani likiwa kwenye hatua Lenta, ambapo baada ya Mbunge kuona hatua hiyo ya nguvu za wananchi aliahidi Bati 50 na Mifuko ya Saruji 50.

DSC_0713

Mheshimiwa Mohammed Dewji na baaadhi ya viongozi wa Msikiti wa kijiji cha Kisasida.

DSC_0729

Mbunge MO akizungumza na waumini wa Msikiti wa Kisasida, ambapo ameahidi kutoa msaada wa Mabati 100 na Mbao 100 kwa ajili ya kumalizia ujenzi wa Msikiti huo.

DSC_0738

MNEC wa Manispaa ya Singida, Hassan Mazala akitoa hamasa kwa wakazi wa Kisasida kushiriki Mkutano wa hadhara ambao umeitishwa kwa ajili ya Katibu Mkuu CCM Taifa, Abdulrahman Kinana wa kuongea na wakazi wa jimbo la Singida Mjini utakaofanyika viwanja vya People’s Club.

DSC_0750

Mheshimiwa Mohammed Dewji akielekea kukagua ujenzi wa Msikiti wa Minga mjini Singida.

DSC_0336

Watoto wa Madrasa ya Msikiti wa Mwankoko Darajani wakimpokea Mbunge wao kwa mabango yenye ujumbe mbalimbali wakati alipotembelea ujenzi wa Msikiti huo.

DSC_0343

Mheshimiwa Mohammed Dewji akifurahia jumbe zilizoandikwa na watoto wa Madrasa ya Mskiti wa Mwankoko Darajani.

Kwa picha zaidi bofya hapa

Mama Bishanga Amlilia Kuambiana

OHIO: USA, MAMA BISHANGA AMLILIA KUAMBIANA

Nimepokea kwa huzuni taarifa ya kifo cha msanii mwenzagu wa fani ya filamu marehemu Adamu Philip Kuambiana, ni pigo kubwa kwa tasnina yetu na kwa taifa pia kwa kuondokewa na mtaalamu mahiri kama yeye, namuombea usingizi wa milele wa amani.

Adamu alikuwa mtoto wa mwalimu Philip Kuambiana mwalimu wangu wa major yangu chuoni Theater Arts, alikuwa director na producer mkali sana. Na kama itakumbukwa nilihojiwa mwaka 2001 baada ya kupokea  Award ya The Best Actress wa mwaka wa 2001, nilieleza mengi pamoja na production tuliocheza  mbele ya wabunge na  Rais wa kwanza Mwl Julius Nyerere, Marehemu Mwalimu Philip kuambiana ndie aliidirect, na alisimamia Nyanja zote, mandhari, costumes, sound, na hata lebasi za ulibwende (wale tuliokuwa darasa moja mnaikumbuka hiyo?), na alikuwa very serious kazi inapoanza, alikuwa akitutania kila tunapoanza mazoezi kuwa kila mtu aende chooni kabisa kwani kazi ikianza ni moto moja kwa moja, kazi moja tu, na hakika matokeo ya production zake yalikuwa mazuri sana. Na ndio hapo nilimjua Adamu akiwa mdogo sana mwaka 1982-83.

Mwaka 2011 niliporudi tz kufunga ndoa ndipo nilipoonana tena na Adamu akiwa mkubwa kabisa, na tulipanga kuicheza tena jukwaani ile production ya mtihani wetu wa mwisho, alisema pamoja  kuwa alikuwa mdogo sana lakini anakumbuka ile production ya mfalme Odepasi (The King Odepus) kutoka kwenye kitabu cha Shake Spear, ambayo kwa kifupi mfalme Odepas alifungwa miguu na mikono kwenye mti na kupewa wafugaji wakamtupe mtoni akafe maji, Odepus alikuja kuwa mfalme baada ya miaka mingi, alimuua baba yake bila kujua kuwa ni baba yake na alimuoa mama yake na kuzaa nae watoto wawili bila kujua! ni production nzuri sana na ninasikitika kuwa Adamu amefarika na ndoto ya kuicheza hii production tena jukwaani sijui ndio vipi! Pamoja na yote namuombea Amani ya kudumu,

Mwisho nawapa pole kwa familia yake, na kwa taifa Zima.

 Bwana alitoa, Bwana ametwaa; Pumzika kwa Amani Adamu Philip Kuambiana.

Christina Innocent Marolen
Mama Bishanga
OHIO  

The Late Adam Kuambana

Tuesday, May 20, 2014

Bosi wa EWURA Afariki Hotelini

Kutoka The Citizen:

Bosi wa EWURA akutwa amefariki hotelini

*Dar es Salaam/Dodoma.* A top director with the Energy and Water Regulatory

Authority (Ewura), Mr Julius Gashaza, was yesterday found dead in a Dar es
Salaam hotel. He had reportedly committed suicide, according to official
reports.

His baffling death came on the night of the day that he had returned to the
city from Dodoma, where alongside other government officials, were grilled
by the Budget Committee on the tax revenue collected from petroleum
products and the amount forwarded to the Road Fund and the rural
electrification agency (Rea).

Mr Gashaza was Ewura's Director of Petroleum and had represented the
authority's director general, Mr Felix Ngamlagosi, at the Dodoma meeting
with the Bunge committee chaired by Bariadi West MP and former minister
Andrew Chenge.

Family members confirmed the deceased arrived from Dodoma on Saturday and
expressed fear for his life. According to the family, Mr Gashaza told his
wife he feared some unnamed people were after his life.

The family then prayed together before the officer expressed his wish to
sleep in a hotel instead of his house for his own safety. He booked into a
hotel at Yombo Kigilagila from where he was found dead in his room
yesterday morning. Shocked family members were gathering at his home in the
city but did not want to speak to the media on the death of their kin. A
close relative who declined to be named said the family had decided to let
the police speak on any queries regarding the incident.

Dar es Salaam Special Police Zone Commander Suleiman Kova referred
reporters to the Temeke Region Police Commander Engbert Kiondo whose phone
went unanswered as this report was being filed.

In Dodoma, Mr Chenge expressed shock when told of the sudden death of the
Ewura director. He confirmed his committee had interrogated the officer and
Tanzania Revenue Authority (TRA) officials over discrepancy in the
statistics presented to the Budget Committee.

According to Mr Chenge, the team had sent both Ewura nad TRA officials to
reconcile their figures and come up with true information as what they had
separately presented was in conflict. He said it was not acceptable that
the two state agencies had diffirent figures on the tax due to petroleum.
However, Mr Chenge said he wouldn't speak on Mr Gashaza' death as that was
now a police matter.

Information gathered from within members of the Budget Committee indicated
that Ewura and TRA were in a serious conflict over the figure tabled before
Parliament. It was revealed that the figures shown by Ewura wer much higher
than those shown by TRA, a fact that allude to massive tax loss or
pilfering.

http://www.thecitizen.co.tz/News/Ewu...z/-/index.html

IGC Annual Conference and Revival in Boston This Week

The International Gospel Church in Chelsea, MA is holding its Annual Conference and Revival from Thursday, May 22 - Sunday May, 25th. Church is located at 85 Crescent Avenue in Chelsea.  Pastor Daniel Moses Kulola and Comedian Masanja Mkandamizaji are in the line up.  Also Dr. Emilian Busara and Pastor Edith Mwita.  Event starts on Thursday at 6:00pm, on Friday, Saturday and Sunday at 9:30am runs to 10:00pm.


Saturday, May 17, 2014

Private Brian Salvatory Rweyemamu Azikwa Leo Mjini Dar es Salaam

 Private Brian Salvatory Rweyemamu -JWTZ  (1987-2014) amezikwa leo mjini Dar es Salaam katika makaburi ya Kinondoni. Mwenyezi Mungu ailaze roho yake mahala pema mbinguni. Amen.

The Late  Private Brian Rweyemamu 1987-2014


Picha kwa hisani ya Ikulu:





Mkurugenzi wa Mawasiliano Ofisi ya Rais Bw. Salva Rweyemamu na mkewe Isabella wakiweka shada la maua kwenye kaburi la mtoto wao Private Brian Salva Rweyemamu katika makaburi ya Kinondoni jijini Dar es salaam leo Mei 17, 2014




Dada wa Marehemu Private Brian Salva Rweyemamu wakiweka shada la maua wakati wa mazishi katika makaburi ya Kinondoni jijini Dar es salaam leo Mei 17, 2014



 Rais Jakaya Mrisho Kikwete na Mama Salva Kikwete wakiweka shada la maua kwenye kaburi la Private Brian Salva Rweyemamuwakati wa mazishi  katika makaburi ya Kinondoni jijini Dar es salaam leo Mei 17, 2014

Bomb Explosions in Nairobi Today Kill 10 , Dozens Injured!

NAIROBI, Kenya (AP) - Two bombs killed 10 people and wounded 70 others Friday, tossing bodies into the air at a market in Kenya's capital, while hundreds of British tourists were evacuated from the coastal resort of Mombasa after warnings of an impending attack by Islamic extremists.

   The U.S. ambassador has requested additional security and is reducing the number of people stationed at the embassy in Nairobi amid an increase in threats.

   No group claimed responsibility for the blasts, which went off minutes apart in the Gikomba market near downtown Nairobi.

   President Uhuru Kenyatta, appearing at a previously planned news conference shortly after the bombings, offered his condolences.

   But he dismissed the tourism warnings from the U.S. and Britain that led to the evacuations, saying that terrorism is a common problem and not unique to Kenya.

   As ambulances and security forces responded to the market bombing, witnesses described a chaotic scene.

   "I heard the first blast, then another one," said Gikomba market trader Judy Njeri, who described crouching and crawling on hands and knees after the explosions that wounded some of her colleagues.

   "I saw bodies being tossed in the air," she added. "The whole place was thrown into darkness and a lot of dust."

   Police Chief Benson Kibue announced the casualty figures.

   U.S. National Security Council spokeswoman Caitlin Hayden condemned the bombing as "the latest in a series of cowardly attacks on innocent civilians in Kenya, from the capital to the coast."

   Security concerns are high in Kenya because of its proximity to Somalia and the al-Qaida-linked group, al-Shabab, which operates there. In September, four al-Shabab gunmen attacked the upscale Westgate Mall in Nairobi, killing at least 67 people.

   On Thursday and Friday, TUI Travel, which owns the British tourism companies Thomson and First Choice, evacuated customers and canceled all flights to the coastal city of Mombasa until October. The British government had urged its citizens to leave Mombasa and nearby beach towns.

   The U.S. and Britain were among several nations renewing warnings of possible terrorist attacks.

   Earlier this week, the U.S. warned for the first time that its embassy itself is taking new steps to increase security "due to recent threat information regarding the international community in Kenya."

   On Friday, Ambassador Robert Godec sent a letter to his staff, saying he has requested assistance from the Kenyan police and State Department. Godec said additional police are patrolling the embassy vicinity and that more assets will arrive from Washington next week.

   The embassy is also reducing its staffing numbers.

   "Unfortunately, the security situation in Kenya, especially in Nairobi and Mombasa, continues to worsen. Since the tragic events of Westgate in September 2013, the number of attacks, threats, and warnings is deeply concerning," Godec said, referring to the assault on the mall.

   More than 100 people have been killed in shootings, grenade attacks and small bombings in Kenya in the past 18 months, the U.S. Embassy said. Kenyan authorities, with the help of the FBI, recently discovered a huge car bomb that could have caused a lot of damage.

   Al-Qaida detonated a massive bomb by the U.S. Embassy in Nairobi in 1998, killing more than 200 people.

   The U.S. Embassy's security posture has increased in recent days. Marines now patrol the embassy grounds in bulletproof vests and helmets. Emergency drills tell embassy staff: "Duck and cover, duck and cover."

   "We know from experience whether it's been in Yemen where embassies have been attacked or in Benghazi where our consulate and ambassador was attacked, anything that is a symbol of a foreign country is a potential target," said Scott Gration, a former U.S. ambassador here.

   As for the evacuations, many travel companies have insurance policies that don't allow tourists to be in high-risk locations, noted Gration, a retired U.S. Air Force major general who runs a technology and investment consultancy in Nairobi.

   Some of the tourists boarding a flight home at Mombasa airport expressed disappointment with the travel company's decision to evacuate them, saying they had felt safe in Mombasa.

   "We believe we're safe here where we are in Kenya," said Dave Moor of England. "Everyone has been really friendly, non-threatening. We've had no worries at all, you know, and we're just so upset that you wait all year for your holiday and you've got three days and they send you home without any real reason."

   Stefan Arraw of Peterborough, England, called it "a lot of overreaction."

   Kenyatta said the warnings strengthen the will of terrorists.

   Kenya sees a big drop in tourism activity - a major money-maker - whenever such alerts are issued. Kenyatta said the government would install 2,000 security cameras in Nairobi and Mombasa to help combat terrorism.

   Gration said Kenya's coast is a beautiful and mostly safe location.

   "My belief is that everywhere there are issues and we all need to be prudent in when we go and where we go," Gration said. "So I don't travel at night, avoid big crowds and lock my doors. Whether you are in Newark, New Jersey, or Nairobi, Kenya, we can all fall victim to crime or terrorism."

Msanii Adam Kuambiana Afariki Dunia

Wadau, leo nimepokea habari za kusikitisha za kifo cha Msanii, Adam Kuambiana.  Mwenyezi Mungu ailaze roho yake mahala pema mbinguni. Amen.


 KUTOKA LUKWANGULE BLOG

The Late Adam Philip Kuambiana

HABARI  haziko wazi lakini marafiki w akaribu wamethibitisha kwamba dairekta anayekuja juu, muigizaji na mwandishi wa sinema Adam Phillip Kuambiana PICHANI amefariki saa chache zilizopita.

Mkali huyo mwenye tabia 'ngumu ' (hana simu ya mkononi) labda sasa, ameshiriki kama muigizaji au dairekta katika sinema Lukuki na amekufa akikimbizwa hospitali ya Sinza palestina.

    Hizi ni baadhi tu ya kazi zake njema:
    Danija
    Faith More Fire|
    Bad Luck
    Scola
    The Boss
    Mr.Nobody
    Radhi ya Mke
    Lost Sons
    Chaguo Langu
    My Fiance
    Jesica
    Life of Sandra
    Basilisa
    My Flower
    Regina
The Late Adam Kuambiana
    Born Again
    Its Too Late
    Fake Pastors


Nilimpenda sana kuambiana katika filamu ya Fake Pastors.

Vijana watanashati Vicent Kigosi (Patric) na Adam Philip Kuambiana (Petro) waliohitumu Chuo Kikuu cha Mzumbe, Morogoro Vichwani mwao wanaelewa kitu kimoja tu walichoambiwa tangu utotoni kuwa ukiwa na digree masiha yatakuwa rahisi jambo ambalo baada ya kuingia mitaani wanakuta ni tofauti kwani hakuna ajira na maisha yanakuwa magumu sana kwao.

Baada ya kutembea katika ofisi moja hadi nyingine wakitafuta kazi bila mafanikio, hatimaye wanagundua kuanzisha kanisa ndio suluhisho pekee walilobakiza hivyo wanaamua kuwa wachungaji wa uongo (Fake Pastors) na kuanzisha kanisa kwa lengo la kujitajirisha badala ya kumtumikia Mungu, kazi yao inakuwa ni kuwakamua waumini fedha na mali walizonazo. 
Kwakufanya hivyo wanajikusanyia utajiri mkubwa hasa baada ya misaada kuanzia kuingia kutoka nje kwa wahisani, baadala ya kufanya kazi ya Mungu wao wanazitumia fedha hizo katika anasa wakilewa pombe na kununua Malaya usiku na ifikapo asubuhi wanahubiri injili kama kawaida na kuwafanya waamini wazidi kuwakubali.  Baadae walijingiza katika biashara haramu dawa za kulevya ndipo Mungu Mbinguni alipoamua kuingilia kati na kuwaadhibu vibaya.

Cast: Adam Philip Huambiana (Petro), Vicent Kigosi (Ray),  Jokette Mwegelo (Jach), Lisa Jensen (Lisa), Blandina Chagula

Producer- Vicent Kigosi, Executive Producer- Eric Shigongo, Director- Gervas Kasiga


Boko Haram waingia Bongo -Utani

Acheni visingizio!!!!! Hakuna Boko Haram Tanzania!