Saturday, February 28, 2015

Historia Fupi ya Marehemu Captain Komba!

 Mbunge wa Mbinga na Msanii maarufu, Captain John Komba, alifariki dunia leo katika hospitali ya TMJ mjini Dar es Salaam, kutokana na athari za ugonjwa wa kisukari. Mwenyezi mungu ailaze roho yake mahala pema mbinguni. Amen.
The late Captain John Komba


Historia Fupi ya Marehemu John Komba
Marehemu Kaptain Komba alizaliwa Marchi 18 mwaka 1954 alipata elimu ya msingi huko nchini Tanzania katika shule ya Lituhi baadae elimu ya sekondari katika shule ya sekondari ya Songea iliyopo kusini mwa Tanzania kuanzia 1971 hadi mwaka 1974.

Mwaka 1975 hadi mwaka 1976 Marehemu John Komba alijiunga na chuo cha ualimu kilichopo Kleruu Iringa, Kusini Magharibi mwa Tanzania ambapo alihitimu cheti cha ualimu.

Marehemu John Komba ni mwanajeshi ambaye alipata mafunzo ya uafisa wa Jeshi katika chuo cha Maafisa wa Jeshi kilichopo Monduli kaskazini mwa Tanzania mwaka 1977 hadi mwaka 1978.

Keptain John Komba pia alipata mafunzo mengine ya siasa kutoka chuo Kikuu cha Washngton International ambapo alitunukiwa shahada ya siasa mwaka 2006 hadi mwaka 2008.


**********************************************************************

Waziri wa Ardhi,William Lukuvi (wa kwanza kushoto) akimfariji mke wa marehemu, Salome Komba

Khadija Kopa akilia kwa Uchungu nyumbani kwa Komba.
 

Captain John Komba Afariki Dunia

 Wadau, Mh. Captain John Komba, Mbunge wa Mbinga amefariki leo katika hospitali ya TMJ. Wanasema alikuwa anasumbuliwa na kisukari (diabetes).

Lazima niseme kuwa nakumbuka marehemu Captain Komba alivyoaanza kupanda chati. Alikuwa Sargent wa Jeshi na alikuwa anaimba katika kikundi cha wasanii. Alimwimbia Mwalimu ule wimbo wa 'We Love Freedom'.  Nimesahau ilikuwa sherehe ya nini. Mwalimu na wote tuliyokwepo tuliblow!  Alipata U-Captain haraka sana na mambo ya TOT ni ya kihistoria.

REST IN PEACE CAPTAIN KOMBA!

Kutoka Twitter:

Rest in peace, Tanzanian singer/politician Captain John Komba. I remember his rise to fame. 
Chama Cha Mapinduzi @ccm_tanzania 7m7 minutes ago
TANZIA:Mbunge wa Mbinga na Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM Kapteni John Damian Komba amefariki dunia ktk Hospitali ya TMJ, Dar.
0 replies10 retweets0 favorites Reply
Retweeted10



Kutoka EATV
 
East Africa TV
@ eastafricatv
1m
#TANZIA Mbunge wa Mbinga Magharibi
Kapt. John Komba amefariki dunia leo
saa 10 jioni katika hospitali ya TMJ
DSM kwa tatizo la Kisukari


Gauni ya Lupita Nyong'o Iliyoibiwa Hollywood Imepatikana - Ina thamani ya dola $150,000!


Mcheza sinema Lupita Nyong'o

Wadau, jumapili iliyopita, mceheza sinema na mrembo, Lupita Nyong'o,  alivaa gauni enye thamani ya dola za kiMarekani $150,000 kwenye Oscars.  Hiyo gaumi imepambwa na lulu 6,000 (ameivaa pichani) na imeshonwa na mwanafesheni maarufu, Calvin Klein.  Baada ya Oscars Lupita aliiacha kwenye chumba chake kwenye hoteli ya kifahari The London West Hollywood na alitoka.  Alivyorudi alikuta gauni imeibiwa.

Sasa indaiwa kuwa aliyeiiba, kariudisha baada ya kugundua kuwa hizo lulu ni feki.  Mwizi alinyofoa lulu mbili na kuzipeleka kwenda kuuza kwa sonara, ndo kaambiwa ni feki.
 
Lupita Nyong'o ni mcheza sinema kutoka Kenya aliyepata umaarufu baada ya kushinda Oscar mwaka jana, Aliigiza kama mtumwa katika sinema,  12 Years a Slave.  Pia, alipendwa kwa urembo wake hasa baada ya wanafesheni kugundua kuwa anaweza kuvaa nguo vizuri  na kupendeza kuliko Model!

Kwa habari kamili BOFYA HAPA.

Jihadi John na Uhusiano wake na Tanzania


Kumbe Usalama wa Taifia walimgundua Jihadi John mpaema. Walimzuia kuingia Tanzania kwa ajili ya Safari ya kutembelea mbuga za wanyama. Walisema nia yake ilikuwa kwenda kujinga na Al Shabab Somalia. Jihadi John ameua mateka wa kizungu na kiJapani kadhaa huko Syria kwa kuwakata vichwa (Beheading). Jihadi John kumbe ni msomi na anatoa kwenye familia enye uwezo.


****************************************
   LONDON (AP) - The unmasking of Islamic State militant "Jihadi John" as a Londoner who had repeatedly been questioned by security services sent shock waves through Britain Friday, with Prime Minister David Cameron stepping in to defend British spy craft.

   Cameron tried to defuse criticism of Britain's intelligence community, which had "Jihadi John" on its list of potential terror suspects for years but was unable to prevent him from traveling to Syria, where he has played a prominent role in grisly beheading videos.

   Cameron did not mention "Jihadi John" or refer to his real identity: Mohammed Emwazi, a Kuwait-born computer science graduate raised and educated in Britain. But he said the country's spies make "incredibly difficult judgments" daily about how to pursue threats to national security and have broken up plots that would have caused immense damage.

   Emwazi had been known to the British intelligence services since at least 2009, initially in connection with investigations into terrorism in Somalia.

   David Anderson, who is in charge of reviewing Britain's terrorism legislation, said intelligence agencies may have dropped the ball, but faced a big challenge to identify real threats from "hundreds, probably thousands" of suspects.

   "Perhaps they did slip up in this case but one won't know until there's been an inquiry or a report of some kind," he told the BBC.
Mohammed Emwazi aka Jihadi John

   The case has some parallels to that of two al-Qaida-inspired extremists who murdered a British soldier in a London street in May 2013. A report by lawmakers concluded that delays and other failings by the agencies had contributed to that tragedy.

   However, it is not clear what laws could have been used to prevent Emwazi from leaving Britain at the time, since he had not been charged with any terrorist-related offenses. It is not known if police or security services had any evidence he was planning to join extremists in Syria.

   His identification as the front man in IS murder videos has raised questions about how a soccer-playing London youngster who liked smart clothes became one of the world's most wanted men.

   Authorities were working to piece together the path to radicalization of Emwazi, who came to Britain from Kuwait as a small child and attended state schools in London before studying computer science at the University of Westminster.

   Court documents from 2011 obtained by the BBC list Emwazi as part of a network of west London men suspected by MI5 of sending funds, equipment and recruits to al-Shabab militants in Somalia. The group included Bilail al-Berjawi, a Lebanese-British militant who was killed in a U.S. drone strike in Somalia in January 2012.

   Emails that Emwazi sent to a Muslim advocacy group reveal a young man increasingly frustrated by the attentions of British spies and angry at the plight of Muslims around the world.

   Emwazi approached the group, CAGE, after he and two friends were arrested and deported on a trip to Tanzania in August 2009. They said they were going on a post-university safari. But Emwazi said he was grilled by a British intelligence officer who accused him of trying to travel to Somalia to link up with terrorists there.

   He said the agent, who identified himself as Nick, suggested Emwazi "work for us" before saying "life will be harder for you" if he did not cooperate.

   It is clear that Emwazi was unnerved after his unwanted interrogation.

   "He knew everything about me; where I lived, what I did, the people I hanged around with," he wrote in one of the emails that CAGE made public Thursday. "He even said that he would try to visit me. But I refused and told him that I did not want him to pay me a visit."

   The following year Emwazi accused British agents of preventing him from going to Kuwait, where he had a job and planned to marry. He wrote in one email that his "`life' is kind of on a `pause."'

   Like many British Muslims who have become radicalized in recent years, he seemed to feel that Muslims were increasingly under attack in many parts of the world and complained to CAGE of the plight of his fellow believers in Chechnya, Iraq and elsewhere.

   CAGE said that Emwazi even changed his name in a bid to escape the attentions of the security services, but still was barred from going to Kuwait. His family reported him missing early in 2013. Four months later, police told them Emwazi was in Syria, CAGE said.

   He appeared in a video released in August showing the slaying of American journalist James Foley, denouncing the West before the killing. A man with similar stature and voice was also featured in videos of the IS killings of American journalist Steven Sotloff, Britons David Haines and Alan Hemming, and U.S. aid worker Abdul-Rahman Kassig.

   Foley's parents in Arizona on Thursday expressed surprise that "Jihadi John" was an educated man who had real prospects in life.

   "So he, in a sense, had a privileged upbringing, so to me that makes that even more sad that he'd want to use his gifts for such evil and such hatred. It's very frightening to me," Diane Foley said.

   "We need to forgive him for not having a clue what he was doing," she said.

   The widow of Haines, a British aid worker, said Friday she would like to see "Jihadi John" captured and put on trial.

   Dragana Haines told The Associated Press in a phone interview from her home in Croatia that "I really hope he will be caught, I think it would be a good lesson for all."

   Haines, whose husband was killed in September, said she would rather see Emwazi judged in a court of law than killed by enemy action.

   "People of his kind believe that death in combat is an honor, something special," she said.

   In the modest west London neighborhood where Emwazi's family lived, citizens were shocked after his identify was revealed.

   Sharaft Ullah, who worships at the Harrow Road Mosque near the family home, remembered Emwazi as a strict Muslim who prayed several times a day. He said Emwazi was "a very good local guy and polite with everybody."

   "I feel angry because he was educated in this country and he graduated from Westminster," Ullah said. "If he has been doing these things it's wrong."

   Another mosque that Emwazi was reported to have attended, the Greenwich Islamic Centre, said it had no knowledge of him.

Uchaguzi Yafanyika Lesotho


   JOHANNESBURG (AP) - The southern African nation of Lesotho on Saturday held an early election aimed at overcoming tension among political factions that has led to violence among security forces since last year.

   Voting proceeded smoothly in the mountain kingdom, one of the few countries on the continent to have experienced coalition rule. Analysts said there is a possibility that no party will win a majority, meaning the country could end up with another coalition government.

   Last year, Prime Minister Thomas Thabane suspended parliament to avoid a vote of no-confidence after his coalition government splintered. He fled to South Africa, alleging he was the target of a coup attempt, and returned under the protection of South African forces.

   The parliament has 120 seats and the country has 1.2 million registered voters.

   Lesotho has little strategic significance, although it is a vital source of highlands water for parched South Africa, which has one of the continent's biggest economies and has been heavily involved in trying to stabilize its small neighbor.

   South Africa's deputy president, Cyril Ramaphosa, frequently visited Lesotho to mediate among the factions ahead of the election. Ramaphosa said he was confident that conditions for free and fair elections had been met.

Sunday, February 22, 2015

UVCCM Mkoa wa Lindi Walaani Mauji ya Albino na Kumpongeza Rais Kwa Uteuzi wa Wakuu wa Wilaya

Saturday, February 21, 2015

Bongo Fleva Staa Mez B Afariki Dunia!

Kutoka Facebook 

Msanii wa Bongo fleva  Moses Bushagama  aka. 'Mez B'  amefariki Dunia Ijumaa, February 20, mkoani Dodoma kutokana na ugonjwa wa homa ya mapafu. 

Mez B alikuwa ni mtoto wa pekee kwa mama yake kwani alizaliwa peke yake. Rest in Peace.


The Late Mez B

Wanaume Wenye Mboo Ndogo Watafanya Sherehe Uingereza

Huko Uingereza kutakuwa na sherehe maalum kwa ajili ya wanaume wenye mboo ndogo.  Si utani, lakini wazungu wanajulikana kwa kuwa na mboo ndogo. Sherehe inaitwa, 'The Big Small Penis' party.  Ni kwa ajili ya kutiana motisha.  Sherehe itafanyika mwezi ujao mjini London.

Bwana Ant Smith (48) anaandaa sherehe hiyo. Anasema mboo yake ikisimama inakuwa na urefu wa inchi 4 tu (sentimita 9).   Anataka wakatao hudhuria hiyo sherehe kujiona kuwa ni watu wa maana wasio na kasoro. 

Sherehe inaitwa, 'The Big Small Penis' party.  Ni kwa ajili ya kutiana motisha.  Wanaume wote wenye mboo ndogo wanaalikwa kuhudhuria. Kiingilio ni dola moja kwa kila inchi ya saizi ya mboo. kwa hiyo kama wewe ni inchi nne dola $4.


Kwa habari zaidi BOFYA HAPA:



Wosia wa Baba Wa Taifa Kuhusu Urais - Uwanja wa Sokoine mjini Mbeya Mei 1, 1995

Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere alialikwa kuwa Mgeni Rasmi kwenye kilele cha Sikukuu ya Wafanyakazi Duniani iliyofanyika kitaifa Uwanja wa Sokoine mjini Mbeya Mei 1, 1995. Katika hotuba yake alieleza mengi, leo tunachukua kipengele cha urais, alikuwa na haya ya kusema:
Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere
“Naeleza baadhi ya matatizo ambayo viongozi tutakaowachagua tuwe na hakika iwapo wanayaona hivi kama sisi tunavyoyaona. Yanawauma kama sisi yanavyotuuma na kwamba, watakapofika hapo wanapopataka watusaidie kuyatatua.

“Wanayaona, yanawakera na hata watakapofika hapo, hicho ndicho kitakachowasukuma kutaka kuwa marais wetu na wabunge wetu. “Marekani walikuwa na rais wao kijana mmoja mdogo anaitwa John Kennedy. Walimpiga risasi. Marekani nao ni watu wa ajabu sana! Vijana walilaani tukio hilo kwa kuwa walikuwa wanadhani wamemchagua rais wa umri wa kama miaka arobaini na mitatu au minne hivi.

“Sasa huyo ni kijana, hata kwa hapa Tanzania leo ni kijana. Alipochaguliwa na Marekani akawa rais wao. Katika hotuba yake ya kwanza kabisa aliwambia wananchi wenzake, hasa vijana “Usiulize Marekani itakufanyia nini, jiulize wewe utaifanyia nini Marekani?”.
“Kila anayetaka kuwa mgombea wa urais/ubunge ajiulize ataifanyia nini nchi yake
“Tunataka mtu anayetaka kuwa rais wetu ajiulize anataka kuifanyia nini nchi yetu na sio nchi yetu itamfanyia nini.

“Na tunataka swali hilo ajiulize kila mtu anayetaka kuwa mgombea wa chama cho chote kuwa mbunge/rais: “Kwa nini, kwa dhati kabisa, anaumwa na umasikini wetu na umasikini huo ndiyo unaomsukuma ashughulike na mambo haya ya siasa katika ngazi hiyo ama ya ubunge ama ya urais”. Kama sivyo, hatufai!
“Mtu hapakimbilii Ikulu: Hakuna Biashara Ikulu. Mtu anayetaka kwenda ikulu kutaka faida yo yote ikulu pale, hatufai hata kidogo. Wananchi, mimi nimekaa pale Ikulu kwa muda mrefu zaidi kuliko mwingine ye yote, wala sidhani kuna mtu mwingine anaweza kuzidi muda huo.

“Tayari hapa tumeweka sheria. Kwa mujibu wa sheria, mtu hawezi tena kukaa Ikulu zaidi ya miaka kumi, kipindi ambacho hata hakijafikia nusu ya kipindi nilichokaa. Mimi nimekaa miaka ishirini na tatu!
“Najua, kwa mtu halisi kabisa, Ikulu ni mzigo! Hupakimbilii! Si mahali pa kupakimbilia hata kidogo; huwezi kupakimbilia Ikulu. Unapakimbilia kwenda kutafuta nini?
“Ni mgogoro; ni mzigo mkubwa kabisa! Ukipita barabarani, unakuta watu wana njaa, unaona ni mzigo wako huo. Pazito pale! Huwezi kupakimbilia na watu safi hawapakimbilii.

“Ukiona mtu anapakimbilia, na hasa anapotumia tumia vipesa kwenda Ikulu, huyo ni mtu wa kuogopa kama ukoma!
“Mtu ye yote anayeonekana anapenda sana kwenda Ikulu na hata yupo tayari kununua kura ili kumwezesha kufika Ikulu ni wa kumkwepa kama ukoma. Kwanza, hizo fedha kapata wapi.

“Mtanzania wa leo hawezi kununua watu bila kwanza yeye kununuliwa.
Na kama kanunuliwa, atataka kuzilipaje? Kazipata wapi? Watanzania wote ni masikini tu. Mtanzania anaomba urais wetu kwa hela! Amezipata wapi? “Pili, kama hajanunuliwa, kazipata wapi? Kama kakopa, atarudishaje? Ikulu pana biashara gani mtu akope mamilioni halafu aende ayalipe kwa biashara ya Ikulu? Ikulu mimi nimekaa kwa muda wa miaka ishrini na mitatu.

“Ikulu ni mahali pazito. Kuna biashara gani Ikulu?
“Rushwa na matumizi ya fedha bila utaratiba wakati wa chaguzi: Sisi Waafrika ni watu wa ajabu sana. Unajua ni wadogo, lakini nasema, ni udogo wa mawazo. Umaskini wa mawazo ni umasikini mbaya kupita wote.

“Unaweza ukawa na almasi mfukoni, akaja tapeli na kijiwe kimetengenezwa kama almasi akakuambia “hebu tuone almasi yako. 

Bwana aa! Hii ya kwako sio almasi ni chupa tu, almasi ni hii. Kwanza nipe bwana.” Mkabadilishana. Yeye akachukua almasi yako na akakuachia kichupa na ukatoka hapo unashangilia kama zuzu!
“Sisi hapa Tanzania tulikuwa tumeanza utaratibu ambao ukitumia fedha nje ya fedha za chama na serikali na ukatumia fedha zako mwenywe katika uchaguzi, tunakutoa. Hufai! Huo ndio ulikuwa utaratibu wetu. Tulikuwa tunakuuliza: “hii nchi ya maskini, wewe mwenzetu una mali umeipata wapi?”
“Mali, kwa wakati huo, kwetu sisi ilikuwa ni sifa ya kukunyang’anya uwezo wa kugombea uongozi Tanzania. Tulijua kwamba, kama una mali, utaficha. Leo watu wanasema waziwazi: “Mwalimu uchaguzi wa mwaka huu utapitishwaje?”

“Marekani wanatumia fedha nyingi sana katika uchaguzi. Nyingi sana! Kama Marekani sasa hivi wanazungumza watunge sheria inayofanana na ile mliyoitupa ninyi mnadhani kwa sababu ni mawazo ya masikini, haina maana. “Wakubwa wanayafikiria mawazo hayo sasa hivi. Marekani wanafikiria uwezekano sasa wa kutunga sheria itakayoweka utaratibu wa fedha za ugombeaji kutokana na mfuko mmoja baada ya kugundua kwamba inapokuwa holela na kila mtu akiachiwa lwake, inavuruga.

“Inaleta rushwa kubwa kabisa. Unanunuliwa urais na unaweza kununuliwa na fedha za wauza bangi na wauza baa. Wauza bangi wanaiona hatari hiyo, ninyi haa!“Hapa tulikuwa na utaratibu mzuri kabisa tuliouanzisha mlioutupa, mnafikiri, sisi mwaka huu fedha tu! Uchaguzi wa fedha, mtazipata wapi? Mimi nimetoka juzi tu, mara mmetajirika kiasi hiki!
--

Friday, February 20, 2015

NGO Kadhaa Zafutwa Usajili Tanzania


Taarifa inatolewa kwa umma kuwa NGOs zilizoorodheshwa chini zimefutiwa usajili kuanzia tarehe ya tangazo hili kutokana na kukiuka matakwa ya kisheria katika utendaji kazi. Kwa tangazo hili, uhalali wa kufanya kazi kwa mashirika haya umekoma na kuendelea kufanya kazi baada ya kufutiwa usajili ni kosa la jinai. Viongozi wa NGOs tajwa wanaagizwa kurejesha vyeti vya usajili kwa Msajili ndani ya siku thelathini baada ya tangazo hili. Orodha hii inahusisha mashirika ya kimataifa. Orodha ya mashirika ya ndani inachambuliwa na itatangazwa muda wowote;

1. AFRICA CALL MANAGEMENT INSTITUTE (ACMI) 

2. AFRICA CENTRE FOR PEACE AND DEVELOPMENT 

3. AIDOS - TANZANIA 

4. ASSOCIAZIONE CASAGLIA ROSETTA 

5. COPE-COOPERATION DEVELOPMENT COUNTRIES 

6. DAN CHURCH AID 

7. DIGITAL LINKS TANZANIA 

8. EKKLESIA INTERNATIONAL TANZANIA 

9. FEED THE CHILDREN TANZANIA 

10. GLOBAL ALLIANCE FOR AFRICA TANZANIA 

11. GLOBAL VESSELS TANZANIA 

12. HEALTH DEVELOPMENT INTERNATIONAL (HDI) 

13. EMPOWERMENT RESULT IN BALANCE AND EQUALITY (ERBAAQ) 

14. MENNONITE CENTRAL COMMITTEE IN TANZANIA (MCCTZ) 

15. MIDMAY INTERNATIONAL 

16. PAMOJA INC. 

17. PAN AFRICAN WHEEL CHAIR BUILDERS ASSOCIATION (PAWBA) 

18. JAMII ONLUS 

19. THE BALM IN GILEAD TANZANIA 

20. THE INTERNATIONAL INSTITUTE OF THE IOGT - NTO MOVEMENT 

21. TROCAIRE 

22. VETERINARIANS WITHOUT BORDERS GERMANY(VSF- GERMANY) 

23. WORLD ISLAMIC CALL SOCIETY 

24. WORLD SOCIETY FOR THE PROTECTION OF ANIMALS (WSPA) 


MSAJILI WA NGOs
UNITED REPUBLIC OF TANZANIA

MINISTRY OF COMMUNITY DEVELOPMENT, GENDER AND CHILDREN


PUBLIC NOTICE

Notice is hereby issued to the general public that the list of NGOs as hereby mentioned have been deregistered with effect from the date of this Notice due to contravening the requirements of the NGOs Act, N0. 24, 2002 (as amended) in their operations. By this notice, operations of the mentioned NGOs is hereby ended and any operations subsequent to this notice shall be void and actions shall be taken accordingly. Office bearers of the said organizations are hereby ordered to submit to the Registrar Certificates of Registration of respective Organizations within thirty days from the date of this Notice. This list involves only International NGOs, the List of Local NGOs is being analyzed and it will be issued soon.

1. AFRICA CALL MANAGEMENT INSTITUTE (ACMI) 

2. AFRICA CENTRE FOR PEACE AND DEVELOPMENT 

3. AIDOS - TANZANIA 

4. ASSOCIAZIONE CASAGLIA ROSETTA 

5. COPE-COOPERATION DEVELOPMENT COUNTRIES 

6. DAN CHURCH AID 

7. DIGITAL LINKS TANZANIA 

8. EKKLESIA INTERNATIONAL TANZANIA 

9. FEED THE CHILDREN TANZANIA 

10. GLOBAL ALLIANCE FOR AFRICA TANZANIA 

11. GLOBAL VESSELS TANZANIA 

12. HEALTH DEVELOPMENT INTERNATIONAL (HDI) 

13. EMPOWERMENT RESULT IN BALANCE AND EQUALITY(ERBAAQ) 

14. MENNONITE CENTRAL COMMITTEE IN TANZANIA (MCCTZ) 

15. MIDMAY INTERNATIONAL 

16. PAMOJA INC. 

17. PAN AFRICAN WHEEL CHAIR BUILDERS ASSOCIATION (PAWBA) 

18. JAMII ONLUS 

19. THE BALM IN GILEAD TANZANIA 

20. THE INTERNATIONAL INSTITUTE OF THE IOGT - NTO MOVEMENT 

21. TROCAIRE 

22. VETERINARIANS WITHOUT BORDERS GERMANY(VSF- GERMANY) 

23. WORLD ISLAMIC CALL SOCIETY 

24. WORLD SOCIETY FOR THE PROTECTION OF ANIMALS(WSPA) 


REGISTRAR OF NGOs

Thursday, February 19, 2015

Three Zanzibar Musicians Recieve Scholarships



Three Young Musicians from Zanzibar receive Andrew Scivener Scholarship

Since 2006 DCMA has been receiving grants from the Andrew Scrivener family for the purpose of supporting students of DCMA

The Andrew Scrivener Fund (UK) was established in memory of the late BBC Philharmonic Orchestra violinist to sustain the Music studies of young and talented students from all over Tanzania. Over the years, DCMA has had four intakes of students supported by the Andrew Scrivener Scholarship to study different instruments. This year three DCMA students will receive support from the Fund.

The students receiving scholarship assistance are Rahma Ameir for her study of the violin, Amina Omar for her study of the oud and Said Bhai Said for his study of the qanun.

The Andrew Scrivener Scholarship Fund covers the students' course fees, costs for all study materials, purchase of the student's instrument of specialization and a weekly transport allowance for each of the students.
This Scholarship has been greatly sought after, with many students applying and seeking the assistance of the award. The expressed criteria for receiving the award is the student's level of need and talent, gender equity and promotion of assisting individuals on learning some specific instruments.

The Dhow Countries Music Academy is a not-for-profit music institution based in Zanzibar that provides quality music education in various instruments as well as music related disciplines such as traditional African Dance, Music Theory as well as providing music courses in several schools. 



Wednesday, February 18, 2015

Kijana Mwenye Mboo Kubwa Afanyiwa Opresheni ya Kuipunguza

 Wadau, huko Florida kuna kijana, Mmarekani mweusi mwenye miaka 17 amefanyiwa opresheni ya kupunguza saizi ya mboo yake. Huo uboo ulikuwa na urefu wa inchi 7 na mzunguko wa inchi 10 ikiwa imelala!  Ikiamka ilikuwa inavuka futi na unene kama gogo! DUH! Madakatari walisema kuwa asingeweza kujamiana na mwanamke na mboo kubwa hivyo! Loh, wazungu wangepata habari zake mbona wangemlipa waijaribu! 

Madakatari wanasema kuwa kijana huyo aiomba ipunguzwe baada ya yeye kushindwa kuwmingia mpenzi wake. Pia, alikuwa anapata taabu akicheza michezo. Pia ilikuwa huo uboo kubwa ukisimama basi inasimama kwa masaa kadhaa! 

**************************************************

X-ray za Mboo Iliyopungwa

 Kutoka New York Daily News:

Florida teen undergoes world’s first penis reduction surgery: Study


The unidentified 17-year-old’s 'massive' phallus was 'too large for intercourse,' according to a report published in the Journal of Sexual Medicine. It was almost 7 inches long and had a circumference of 10 inches when flaccid.

 A Florida teenager has successfully undergone the world’s first penis reduction surgery, doctors at the University of South Florida claim.

The unidentified 17-year-old’s “massive” phallus was “too large for intercourse,” according to a report published in the Journal of Sexual Medicine.
Shaped like an American football, it was almost 7 inches long and had a circumference of 10 inches when flaccid.
“It sounds like a man’s dream — a tremendously inflated phallus — but unfortunately, although it was a generous length, its girth was just massive, especially around the middle,” Dr. Rafael Carrion, the urologist who treated the teen, told the Daily Mail.
The well-endowed patient, who “reported inability to penetrate his partner,” had asked for the operation after the shape of his penis also restricted his ability to play competitive sports, the study says.
“There comes a time in every urologist’s career that a patient makes a request so rare and impossible to comprehend that all training breaks down and leaves the physician speechless,” Carrion reportedly said.
Since he was 10, the teen, who has a history of sickle cell disease, had three episodes of priapism — a medical condition in which the penis stays erect for hours — that “progressively” led to his penis deformity, surgeons said in the report.
Doctors were able to make it symmetrical.
USF did not return calls for comment, and Carrion could not immediately be reached.
The average length and circumference of a penis is about 13 and 9 centimeters, respectively, according to the study.
 

 

Saturday, February 14, 2015

Mwanamke Mweusi Maskini Ashinda Bahati Nasibu Powerball - Atapata Dola $188M

Marie Holmes (26) Mmoja wa Washindi watatu wa Powerball
Wadau, hatimaye mtu maskini mwenye shida kashinda bahati nasibu.  Mwanamke mweusi na maskini mwenye watoto wanne, Marie Holmes (26) ni mmoja wa washindi wa tatu wa Donge Nono la Powerball.  Zawadi kuu wiki hii ilikuwa karibu dola $600 milioni.  Wameshinda watu watatu na watagawana hivyo atapata dola $188 milioni.  huyo mama alikuwa anafanya kazi zilizokuwa zinamlipa kima cha chini. Ana watoto wanne na mmoja ana ugonjwa wa Cerebral Palsy inayoathiri ubongo. Anasema maisha yake ilikuwa ya dhiki. Nafurahi kuwa sasa yeye na watoto watakuwa na maisha mazuri na kuweza kusoma hadi Chuo Kikuu bila kuogopa gharama. Mungu ambariki.

Washindi wengine wanatoka mikoa ya Puerto Rico na Texas.

Kwa habari kamili BOFYA HAPA:

Sikukuu ya Wepenzi Leo

Leo ni Valentine's Day! Siku ya Mapenzi. Mwonyeshe mpendae jinsi unavyompenda.  Tunangojea watoto watakaozaliwa mwezi Novemba.



Sera Mpya ya Elimu Tanzania


Saturday, February 07, 2015

Ushamba Jamani!


Mbunge na Walinzi wake Wauawa Kenya!

The Late MP for Kabete, George Muchai

   NAIROBI, Kenya (AP) - Kenyan police say a lawmaker has been shot and killed on a street in the capital, Nairobi, by masked gunmen.

   Nairobi Central Police Chief Paul Wanjama said the lawmaker, George Muchai, was killed alongside his two bodyguards and a driver after they stopped to buy a newspaper from a vendor early Saturday. He said the gunmen then sped away in their car.

   The killings are likely to stoke insecurity fears in Kenya, which has also been dealing with occasional terrorist attacks mounted by Islamic militants seeking revenge over Kenyan military involvement in Somalia.

   Former Prime Minister Raila Odinga said in a statement that Kenya "is bleeding and an atmosphere of fear and hopelessness is spreading" across the country.

Murder Scene

Rais Kikwete Ahudhuria Mazishi ya Mama Mzazi wa Jaji Augustino Ramadhani, Dar es Salaam


. Rais Jakaya Mrisho Kikwete na Mama Salma Kikwete wakitoa heshima za
mwisho kwa mwili wa Marehemu Bibi Bridget Ramadhani, Mama Mzazi wa
Jaji Augustino Ramadhani,  wakati wa mazishi Ijumaa February 6, 2015
huko Kimara King'ongo jijini Dar es salaam
.

 Rais Jakaya Mrisho Kikwete na Mama Salma Kikwete wakijumuika na
waomboilezaji wengine  katika mazishi ya Marehemu Bibi Bridget
Ramadhani, mama Mzazi wa Jaji Augustino Ramadhani,  wakati wa mazishi
Ijumaa February 6, 2015 huko Kimara King'ongo jijini Dar es salaam.

Rais Jakaya Mrisho Kikwete na Mama Salma Kikwete wakiweka udongo
kwenye kaburi la  Marehemu Bibi Bridget Ramadhani, mama Mzazi wa Jaji
Augustino Ramadhani,  wakati wa mazishi Ijumaa February 6, 2015 huko
Kimara King'ongo jijini Dar es salaam.

 Rais Jakaya Mrisho Kikwete na Mama Salma Kikwete wakiweka shada
kwenye kaburi la  Marehemu Bibi Bridget Ramadhani, mama Mzazi wa Jaji
Augustino Ramadhani,  wakati wa mazishi Ijumaa February 6, 2015 huko
Kimara King'ongo jijini Dar es salaam.
 
 
PICHA KUTOKA IKULU
 

Tamko la Pamoja kwa Siku ya KiMataifa ya Kukomesha Ukeketaji Dhidi ya Watoto wa Kike

10945033_856755441041229_6165141623154796543_o

UNFPA, UNICEF, Shirikisho la Kimataifa la Wakunga na Shirikisho la Kimataifa la Magonjwa ya Wanawake na Uzazi.

Wito kwa wafanyakazi wa afya duniani kote ili kuhamasisha kukomesha ukeketaji

Kwa mwaka 2015, ujumbe wa kimataifa wa siku ya kupinga ukeketaji umewalenga wahudumu wa afya; “Uhamasishaji na ushirikishwaji wa wafanyakazi wa Afya ili kuharakisha kutokomeza ukeketaji”. Na hii ni kwa sababu asilimia 34 ya ukeketaji duniani hufanywa na wahudumu wa afya.

Pamoja na ujumbe huu mahsusi kwa wahudumu wa afya, wadau wengine wote unawahusu.

Ujumbe unasema hivi:

Ukeketaji wa wasichana na wanawake unakiuka haki za binadamu na unadhoofisha afya na ustawi wa wasichana takriban milioni 3 kila mwaka. Zaidi ya wasichana na wanawake milioni 130 katika nchi 29 barani Afrika na Mashariki ya Kati ambapo hadi leo hii vitendo hivi vimekithiri wamekwisha fanyiwa aina fulani ya ukeketaji - na athari kwa maisha yao ni kubwa sana.

Duniani kote, tunashuhudia kuongezeka kwa utayari wa jamii na serikali ili kuondokana na vitendo vya ukeketaji - lakini hii haitoshi kwani jitihada zaidi zinahitajika. Leo, tunapoadhimisha Siku ya Kimataifa ya kukomesha ukeketaji dhidi ya watoto wa kike, tunatoa wito kwa wafanyakazi wote wa afya – kuanzia wakunga, wauguzi madaktari wa magonjwa ya wanawake na watu wote katika sekta ya Afya kutoa hamasa dhidi ya kukomesha vitendo vya ukeketaji wa watoto wa kike.

Mchango wa wafanyakazi wa sekta afya katika jitihada za kimataifa za kukomesha ukeketaji dhidi ya watoto wa kike ni muhimu sana kwani wana uelewa mpana wa mienendo na desturi ya kijamii katika jumuiya wanazozihudumia. Hivyo wafanyakazi wa afya wanaweza kuharakisha kupungua kwa kasi kwa vitendo vya ukeketaji kwani watu wanaowahudumia wana imani kubwa dhidi yao.

Wafanyakazi wa afya pia wana uelewa wa kina juu ya madhara yanayotokana na vitendo vya ukeketaji kwani wanashuhudia madhara katika njia ya mkojo, njia ya hedhi, maambukizi katika via vya uzazi ikiwa ni pamoja na kutoka damu nyingi na hatimae vifo, pia hushuhudia athari za kisaikolojia dhidi ya wale waliofanyiwa vitendo vya ukeketaji hali ambayo ni ya kudumu katika maisha yao.

Wafanyakazi wa afya pia wapo katika nafasi nzuri ya kuongoza jitihada za kupinga mienendo mibaya inayoibuka katika nchi nyingi.

Katika baadhi nchi ukeketaji unafanywa na wahudumu wa afya, mathalan takriban msichana mmoja kati ya watano wamekeketwa na watoa huduma waliopatiwa mafunzo, na katika nchi zingine idadi hii inaongezeka inafikia kati ya wasichana watatu hadi wanne.

Ukeketaji ni kinyume cha sheria katika nchi nyingi, Tanzania ikiwemo chini ya sheria ya masuala ya kujamiiana 1998, na watoa huduma za afya ambao wanafanya vitendo hivyo katika maeneo haya wana vunja sheria. Ifahamike kuwa katika nchi zote, aidha sheria zao ziwe zinaruhusu au haziruhusu vitendo vya ukeketaji ni kukiuka haki za msingi za wanawake na wasichana.

Wataalamu wa afya hususan wale walio katika zahanati na vituo vya afya mara nyingi wanaweza kuwa na shinikizo kubwa la kufanya ukeketaji. Lakini endapo watahamasishwa kupinga shinikizo hilo, wanaweza kuwa sehemu ya ufumbuzi.

Hivyo, kwanza kabisa, tunatoa wito kwa wafanyakazi wote wa afya kama wapo wanaoshiriki vitendo vya ukeketaji kuachana na vitendo hivyo na kutumia ushawishi walionao katika jamii wanazofanyia kazi na kuhamasisha wenzao katika jamii zingine kukomesha vitendo vya ukeketaji katika maeneo yote. Pia tunatoa wito kwa wafanyakazi wote wa afya kulinda afya ya uzazi na ujinsia ya wasichana wote ambao tayari wamekeketwa.

Tunajua kwamba wafanyakazi wa afya hawawezi kufanya hivyo peke yao. Mashirika kama UNFPA, na UNICEF, kupitia mpango wetu wa Pamoja wa kukomesha ukeketaji, pamoja na Shirikisho la kimataifa la Wakunga, na Shirikisho la Kimataifa la magonjwa ya wanawake na uzazi, tuko tayari na tunayo nia ya kusaidia jitihada za kuwapatia wafanyakazi wa afya ujuzi na taarifa yoyote itakayohitajika ili kuongeza kasi katika kukomesha ukeketaji na pia kutoa tiba dhidi ya madhara yaliyotokana na ukeketaji.

Kanuni za kijamii, hususan katika jamii ambazo zina mshikamano na umoja huwa zina nguvu kubwa juu ya maisha na mienendo ya jamii husika. Lakini kanuni hizi zinaweza kubadilika endapo watu wataamua kufanya hivyo. Pia endapo wafanyakazi wa afya, viongozi, wataalam, na, zaidi ya yote, wasichana na familia kwa ujumla, watakemea na kuchukua hatua dhidi ya mienendo mibaya.

Katika Siku ya Kimataifa ya kukomesha ukeketaji, Tushikamane kupinga ukeketaji kwani Afya, Haki na Ustawi wa mamilioni ya wasichana unategemea umoja wetu.

 

Tuesday, February 03, 2015

Mshenzi aua Mke Wake Hotelini Manzese!

Hii hatari sana!! Mwanaume anayejulikana kwa jina la Remy Joseph (35) anashikiliwa na polisi kwa kumchinja mke wake wa ndoa kabisa aitwaye Josephine Ndengaleo Mushi waliyeishi naye miaka 10 na kuzaa watoto wawili. Tukio hilo la kutisha lilijiri ndani ya chumba kimoja kilichopo ghorofa ya pili ya Hotel Friend’s Corner Ltd iliyopo Manzese Argentina, Dar ambapo walikuwa wamechukua chumba katika hoteli hiyo kwaajili ya kulala hapo.
Polisi walifanya uchunguzi chumbani na kugundua kuwa, marehemu Josephine alichinjwa shingoni, akakatwa mbavu mbili, moyo na maini vilikuwa nje ‘vikimwagika’, mwisho alichomwa kisu utosini.. Cha kusikitisha zaidi, mwili wa marehemu Josephine ulipigishwa magoti, sehemu ya miguu mpaka magoti ikiwa sakafuni na kifuani kulalia kitanda. Halafu ulifunikwa shuka
Katika hali iliyoonesha kuwa, mtuhumiwa baada ya kutenda ukatili huo alitaka kujinyonga, polisi walikuta waya wa umeme wa tivii ukining’inia kwenye pangaboi lakini ukiwa umekatika. Na pia damu na alama za kujikata visu shingoni.
Sababu ya kufanya hivyo haijujulikana ila ndugu wa mke wa marehemu walielezea kuwa mme alikuwa akimhisi vibaya mkewe.
R.I.P Josephine Mushi